Umewahi fikiria akiba ya TZS 5,000 pekee inakuwezesha kupata faida ya hadi TZS 450,000 pamoja na sifa za kupata mkopo wa hadi TZS 1,000,000 kila mwezi... Read more
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
- By Admin
- 04 - January - 2026
Baada ya kupitia maombi na kufanya tathmini, waombaji wafuatao wamefanikiwa kuitwa kazini katika nafasi mbalimbali kama ifuatavyo:-
1. Loan Officer (Nafasi 4)
- John M. Msuya
- Asha R. Mwita
- Kelvin P. Joseph
- Neema S. Mhando
2. Cashier (Nafasi 3)
- Salma A. Hassan
- Patrick J. Lema
- Zainab M. Ally
3. Sales Officer (Nafasi 8)
- Emmanuel K. Mrema
- Rehema D. Kweka
- Abdallah I. Juma
- Glory P. Simon
- Frank O. Mbise
- Happiness R. Mushi
- Ally S. Hamza
- Prisca N. Charles
4. Data Entry Officer (Nafasi 3)
- Lucas B. Nkya
- Judith E. Mollel
- Said A. Bakari
5. Operations Manager (Nafasi 1)
- Victor H. Ndesamburo
6. HR Assistant (Nafasi 2)
- Agnes T. Kimaro
- Daniel R. Mgaya
7. Office Cleaner (Nafasi 3)
- Fatuma H. Selemani
- Joyce P. Ngowi
8. Security Guard (Nafasi 2)
- Juma A. Salum
- Hamis K. Shaaban
9. Legal Officer (Nafasi 1)
- Advocate Michael L. Nyoni
Menejimenti inapenda kuwataarifu waombaji wote wa ajira kuwa mchakato wa usaili kwa nafasi hizo 9 umekamilika isipokuwa kwa nafasi ya Customer Registration Agent usaili bado unaendelea.
- Tunapenda kuwajulisha kuwa bado kuna nafasi za 9 za Customer Registration Agent ambazo hazijajazwa.
- Hivyo waombaji wenye sifa na nia ya kujiunga nasi wanakaribishwa kutuma maombi yao sasa
Tunawapongeza wote waliofanikiwa na tunawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya. Karibu kazini!


